Saturday, May 7, 2016

Samatta become Genk Hope ... Read

Samatta also known as Sam77gaol, has proven worth by contribute a lot in each game he played, Genk team is luck to have he because of his determination and ambition, also his ability to pass the ball, dribble, defect and attract at the same time.
His contribution leading Genk to be in top 3 positions of the Belgium pro legue

Wednesday, May 4, 2016

Monday, May 2, 2016

TEN WORDS OF WISDOM

TEN WORDS OF WISDOM

__________________________________
1. ON EARNING:
Never depend on single income. Make investment to
create a second chance.
__________________________________
2. ON SPENDING:
If you buy things you do not need, soon you will have to sell things you need.
__________________________________
3. ON SAVINGS:
Do not save what is left after spending, but spend what is left after saving.
__________________________________
4. ON TAKING RISK:
Never test the depth of a river with both feet.
__________________________________
5. ON INVESTMENT:
Do not put all eggs in one basket.
__________________________________
6. ON EXPECTATIONS:
Honesty is a very expensive gift. Do not expect it from cheap people.
__________________________________
7. Past is a waste paper, present is a newspaper, and future is a question paper. Come out of your past, control the present, and secure the future.
__________________________________
8. When bad things happen in your life, you have three choices. You can either let it define you, let it destroy you or you can let it strengthen you.
__________________________________
9. Our eyes are in the front because it is more important to look ahead than to look backwards.
__________________________________
10. We use pencil when we were young, but now we use pens. Do you know why? Because mistakes in childhood can easily be erased, unlike now.

Saturday, April 16, 2016

China's first interactive robot Jiajia developed by University of Science and Technology.

China's first interactive robot Jiajia developed by University of Science and Technology.
Is she beautiful? Let us meet China's first interactive robot Jiajia developed by University of Science and Technology. Jiajia is an intelligent robot who can understand people's conversation, control facial expressions and body movements and so on.
People talk to China's first interactive robot Jiajia developed by University of Science and Technology, April 15, 2016

-A girl takes selfies with Jiajia, China's first interactive robot developed by University of Science and Technology, April 15, 2016

Photo taken on April 15, 2016 shows China's first interactive robot Jiajia developed by University of Science and Technology.

SOURCE:China Xinhua News

Sunday, April 10, 2016

A kid died of drinking Kerosine...



A Kid with name of Colbert Mbajo died of drinking kerosene on April 4th 2016, having about 2 years old, He drink thinking that was water.
warning to society please keep poisons stuff away from children.

Thursday, February 25, 2016

Is your mobile stolen? or LOST!!? Now you can trace it. EASY WAY TO TRACE LOST OR STOLEN MOBILE. READ HERE>>>>

If u lose your mobile you can trace it back.
Most of us always fear that our Mobile may be stolen at any time.
Each mobile carries a unique
IMEI no. i.e. International Mobile Equipment Identity No which can be used to track your mobile anywhere in the world.
This is how it works!!
1. Dial *#06# from your mobile.
2. Your mobile shows a unique 15 digit.
3. Note down this number at a secure place except in your mobile phone itself as this is the Number which will help trace your mobile in Case of a theft.
4. Once stolen you just have to E-mail this 15 digit IMEI No. to cop@vsnl.net with details as below.
  
Your name:____________________
Address:______________________
Phone model:_________________
Make:_________________________
Last used No.:_________________
E-mail for communication:_____
Missed date:___________________
IMEI No :_______________________

5. No need to go to the police.
 
6. Your Mobile will be traced within next 24 hrs via a complex system of GPRS and internet, You will find where your hand set is being operated and the new user's no. will be sent to your email.

Wednesday, February 17, 2016

NECTA CSEE RESULT 2015.... PLEASE READ>>>

In the social media a lot of rumors were going on, basically on the actual date when CSEE 2015 will be out, different messages where sent with gossiping on the internal matters within the council as shown below,


BREAKING NEWS!!
Ofisi ya wizara ya elimu kupitia kwa waziri wa wizara hiyo ndugu JOYCE NDALICHAKA,imetangaza kuwa,matokeo ya kidato cha nne yamezuiliwa kwa muda kupisha uchunguzi,inadaiwa matokeo hayo yalifanyiwa uchakachuzi kwani wanafunzi wengi wamefeli kwa uzembe wa wasahihishaji,hivyo mitihani hiyo itasahihishwa tena na matokeo yatangazwa tena tarehe 08/03/2016.wasahihishaji wamekamatwa k
upisha uchunguzi.wizara inaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.mara upatapo taarifa hii wataarifu na wenzio.



The information above is wrong according to the NECTA public relation officer as shown,

Baraza la Mitihani la Tanzania limekuwa likipigiwa simu na watu mbalimbali wakiomba  ufafanuzi kuhusu  taarifa  zinazosambazwa  kwenye  mitandao  ya kijamii kuwa Wizara  ya  Elimu,  Sayansi,  Teknolojia  na  Ufundi imetangaza kuwa  matokeo  ya  Mtihani  wa  Kidato  cha  Nne  (CSEE)  2015  yamezuiwa kwa muda hadi tarehe 08/03/2016.Baraza la Mitihani la Tanzania linapenda kuwajulisha watahiniwa na umma kwa ujumla  kuwa taarifa hizo ni za UONGO na zinalenga kupotosha umma na kuleta taharuki.Hivyo,Baraza  linaomba  umma  kuzipuuza  taarifa  hizo  kwa  kuwa Wizara haijasitisha utoaji  wa matokeo hayo, Matokeo yatatangazwa  mara tu mchakato utakapokamilika.
Imetolewa na,
AFISA HABARI NA UHUSIANO



For more
http://www.necta.go.tz/files/TANGAZO%20MATOKEO%20CSEE2015%20two.pdf

PANYA ROAD DESTROY VALENTINE DAY.... PANYA ROAD walivyoharibu siku ya wapendanao... SOMA HAPA>>>

Panya road or in other name Mbwa Mwitu is the gang in Tanzania mainly consist of youth from 12 to 20th rebelling on different government conducts, with misuse of their teamwork by theft and violence.
This gang disturb the peace expected in Dar es salaam Tanzania at Mwenge and Makumbusho by robbing, insult and destroying properties.



Siku ya valentine day ilionekana kuwa na amani pale ilipoanza asubuhi, ila mambo hayakuendelea vivyo hivyo baada ya kundi la vijana waliojiita panya road kuitia dosari siku hiyo kwa kuharibu amani na kufanya vurugu maeneo ya makumbusho, na mwenge. Vijana hao walitumia upenyo wa siku iliofikirika kuwa ni ya amani kusumbua na hata kuharibu mali.


Tuesday, February 2, 2016

WHO yahofu virusi vya Zika kusambaa kwa kasi... JUA YOTE KUHUSU UGONJWA HATARI WA ZIKA, SOMA HAPA>>>>

Wataalam wa maswala ya afya wa shirika la Afya duniani WHO wanahofu kuwa virusi vinasambaa mbali na kwa haraka,vikisababisha madhara makubwa. Virusi hivyo vinavyosambazwa na Mbu, kama Dengue na vingine maambukizi yake yamekuwa yakihusishwa na maelfu ya watoto wanaozaliwa wakiwa na vichwa vidogo.
tahadhari ya WHO kuhusu Zika ni ya hali ya juu sawa na ya Ebola
hii inamaanisha kuwa utafiti na msaada itatolewa kwa haraka kupambana na maambukizi.
Mkurugenzi mkuu wa WHO, Margaret Chan amesema nguvu ya pamoja inahitajika kupambana na virusi hivyo
amesema masuala yanayopewa kipaumbele ni kuwalinda wanawake wajawazito na Watoto dhidi ya mbu wanaosambaza virusi.

Tangu mwezi Oktoba kumekuwa na ripoti ya kesi 4,000 za watoto kuzaliwa wakiwa na vichwa vidogo nchini Brazil pekee.


Shirika la Afya Duniani (WHO) leo linafanya mkutano wa dharura kujadili kuenea kwa virusi vya Zika.
Mkutano huo mjini Geneva utajadili iwapo mlipuko wa virusi hivyo unafaa kutangazwa kuwa “dharura ya kimataifa”.
Maafisa wa WHO wamesema mlipuko huo wa Zika unabadilika utoka “hatari ndogo hadi kuwa wa hatari kubwa”.

Katika visa vingi, watu walioambukizwa virusi hivyo vya Zika huwa hawaonyeshi dalili zozote, lakini virusi hivyo vinadaiwa kusababisha maelfu ya watoto kuzaliwa wakiwa na vichwa vidogo Amerika Kusini.


Kutangazwa kwa mlipuko wa sasa wa Zika kuwa “dharura ya kimataifa ya afya ya umma” kutavifanya virusi hivyo kutambuliwa kama hatari kubwa duniani na kupelekea pesa, rasilimali na wataalamu wa kisayansi kutengwa kuangazia tatizo hilo Amerika Kusini na katika maabara kote duniani.
WHO inaangazia sana hasa baada ya kukosolewa kutokana na ilivyoshughulikia mlipuko wa maradhi ya Ebola Afrika Magharibi.
  •     Kundi laomba wenye Zika waruhusiwe kutoa mimba
  •  “  Msishike mimba sasa”, mataifa yashauri wanawake


Wengi walisema ilichelewa sana katika kuchukua hatua, na huenda hilo lilichangia vifo vingi.


mbu aina ya Aedes aegypti

Katika mkutano huo wa leo, wataalamu wa kudhibiti magonjwa, wataalamu kuhusu virusi na wale wanaoangazia kutengenezwa kwa chanjo, watamfahamisha mkugugenzi mkuu wa WHO Dkt Margaret Chan habari muhimu kuhusu mlipuko wa Zika.
Wiki iliyopita, alisema: “ Kiwango cha wasiwasi ni cha hali ya juu, na pia hali ya suitafahamu.
“Kuna maswali mengi, na tunahitaji majibu upesi.”




SOURCE:http://www.bbc.com/swahili/habari/2016/02/160201_zika_who


Monday, February 1, 2016

PICHA ZIMA la Majangili waliotungua Ndege ya askari wa doria huko Maswa Shinyanga SOMA HAPA>>>

Kwa mara ya kwanza katika historia ya uhifadhi nchini majangili wa tembo wametungua chopa ya askari wa doria iliyokuwa ikimilikiwa na mwekezaji wa kitalu cha mwiba holdings katika pori la tengefu la maswa mkoani  wilayani meatu mkoani simiyu na kusababisha kifo cha rubani wa chopa hiyo huku rubani mwenzie akijeruhiwa vibaya mguuni Chopa hiyo inasemekana ilitunguliwa majira ya saa kumi na mbili jioni jana na Majaangili hao ambao wanaosadikika kutumia silaha nzito za kivita walifanikisha kutekeleza uhalifu huo walipo gundua kuwa chopa hiyo ilikuwa ikiwafuatilia baada ya kubaini mahali walipo na uhalifu waliokuwa wakiutekeleza katika pori hilo,ambapo inaripotiwa kwamba pamoja na kutungua chopa hiyo walisha fanikiwa kuuwa tembo watatu

Polisi nchini Tanzania wanasema kuwa wamewakamata washukiwa watatu wa mauaji ya rubani mmoja Muingereza aliyekuwa akisadia kupepeleza visa vya mauaji ya ndovu katika mbuga ya wanyama ya Maswa.

Rubani huyo Roger Gower aliaga dunia baada ya wawindaji haramu kumfyatulia risasi .
Msemaji wa shirika linalosimamia mbuga za wanyama nchini Tanzania Pascal Shelutete amesema kuwa mizoga tatu ya ndovu ilipatikana karibu na eneo la ajali dhihirisho kuwa aliyeishambulia helikopta hiyo alikuwa amejihami vilivyo na huenda alikuwa na shehena hiyo ya meno ya ndovu.

Msako bado unaendelea Kaskazini mwa Tanzania, kulitafuta kundi la majangili wanaouwa tembo, na ambalo lilimpiga risasi na kumuuwa rubani huyo kutoka Uingereza.
Roger Gower aliweza kutua ndege yake katika mbuga ya Maswa, baada ya kupigwa risasi na kujeruhiwa, lakini alikufa baadae kutokana na majaraha aliyopata.
Mbunge mmoja wa Tanzania, Lazaro Nyalandu, alilaani mauaji hayo na kusema kuwa ni waovu na waoga.


Shirika moja la wakfu wa utunzaji wa mazingira, ndilo lililotangaza kuwa rubani mmoja raia wa Uingereza, alikuwa amepigwa risasi na kuuawa kaskazini mwa Tanzania.


SOURCE:http://startvtz.com/ndege-ya-askari-wa-doria-yatunguliwa-na-majangili-shinyanga/
SOURCE: http://www.bbc.com/swahili/habari/2016/01/160131_tanzania_pilot_shot

Saturday, January 30, 2016

Gumzo mitandaoni>>>> Rais wa marekani barak Obama Kukimbia kuwahi ndege yake baada ya kutumia muda wake vibaya....

Habari zilizogonga vichwa vya habari duniani ni tukio la Rais wa marekani barak Obama Kukimbia mbio kuwahi ndege baada ya kutumia muda wake vibaya, na kwa mujibu wa taarifa toka state zinasema muda wa ndege ya Rais unapowadia basi huondoka bila kujali Rais yupo au hayupo kwa ajili ya usalama.

Monday, January 25, 2016

SPIKA WA BUNGE AREJEA KUTOKA INDIA

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Job Ndugai amerejea kutoka nchini India alikokuwa akifanyiwa uchunguzi wa kimatibabu.
Mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, Mheshimiwa Ndugai alisema kwa sasa afya yake iko imara kabisa na anaendelea vizuri baada ya kupatiwa matibabu na Madaktari waliokuwa wakimfanyia uchunguzi Nchini India.
Mhe. Ndugai pia amewashukuru watanzania wote kwa dua na sala zao katika kipindi alichokuwa India ambazo zimemuwezesha kuimarika kwa afya yake na hatimaye kurejea nchini salama.
Mbali na kutoa shukrani hizo Mheshimiwa Ndugai pia amewatakia Watanzania wote kheri na nafaka ya sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya.
Sambamba na hilo Mhe Ndugai amewakumbusha pia Waheshimiwa Wabunge kujiandaa na shughuli za Bunge ambazo zinatarajia kuanza hivi karibuni.
Katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Mhe. Ndugai alilakiwa na Naibu Spika wa Bunge Mhe. Dkt Tulia Ackson ambaye aliambatana na Viongozi wengine wa kitaifa akiwemo Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Merdad Kaleman, Naibu Waziri Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura, Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Godbless Lema na Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashililah.


SOURCE: http://www.parliament.go.tz/news/spika-wa-bunge-arejea-kutoka-india

Bunge Jipya lanoga... Mitazamo tofauti yaibuka.. SOMA HAPA KUPATA MITAZAMO TOFAUTI ILIOTOLEWA MITAANI..

Kesho wabunge wanarudi bungeni kujadili mambo mbalimbali ikiwa ni bunge jipya kabisa chini ya Spika Mheshimiwa Job Ndugai na Dk. Tulia, Wananchi wengi wakiwa na matizamo tofauti kuhusu bunge jipya kutokana na mabadiliko mbali mbali yaliyotokea ndani ya bunge hilo kutoka lililo pita.

Wengi wamekuwa na mitazamo tofauti wengi wakiwa wanamategemeo kuwa litakuwa na upinzani  mkubwa kutokana na upinzani kuongezeka maradufu, wengine wakipendekeza sheria dhidi ya wabunge na wazembe ziwekwe uzembe huo ulitajwa kuwa ni kulala, kushikana mashati na kujibizana matusi, huku wengine wakisema wanategemea kilekile maana wakina “hela ya Mboga ndio walewale wameingia” hii ni mitazamo tofauti iliotolewa vijiweni siku ya leo ikiwa ni njia mojawapo ya kupata maoni ya wananchi juu ya bunge jipya.

Sunday, January 24, 2016

Hotuba ya Raisi John Pombe Magufuli.... KUIPATA YOTE SOMA HAPA>>>>>>

Hotuba ya Raisi John Pombe Magufuli bado Kitendawili....  

Sasa yapata zaidi ya miezi miwili tokea Raisi wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli kuapishwa kuwa Eaisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Wananchi wa Tanzania wamekuwa wakifuatilia kwa makini uongozi mpya huku wakiunga mikono jitihada mbalimbali zinazofanywa na viongozi wetu katika kuinuaa jamii yetu, na huku wengine kama sisi tukisubiri kwa hamu hotuba ya raisi wetu, huku tukitegemea itapagwa kama hotuba ile ya Bunge au zaidi.
Labda tunaishi kwa Mazoea ya Raisi mstaafu, na inaweza kuwa ni sahihi Raisi kuto hutubia wananchi kwa zaidi ya kipindi cha miezi miwili lakini ni muhimu wananchi kujua mipango ya Raisi katika serikali na kuangalia matazamio ya baadae. Huu ni ushauri wangu(Kubwa lao) kuwa Raisi ajipange na atoe hotuba tujue mikakati tunayotakiwa kuiunga mkono, inaweza isiwe kila mwezi ila hata baada ya miezi mitatu itapendeza maana si sahihi kila mwezi hotuba itolewe bila kufanyika chochote.
Ni Mtazamo tu...

Saturday, January 23, 2016

Simu ya Raisi yawa gumzo mitandaoni..... Wengi wahusisha na utani wa lile kabilaa... Unajua ni lipi...

Raisi Dk. John Pombe Magufuli ameonekana kujali taifa kuliko yeye baada ya kuonekana akishona nguo yake mwenyewe na pia akijitadi kupunguza wafanyakazi na hata kutumia karatasi za daftari katika nyaraka zake mbali mbali.
Hii imepelekea kumuhusisha na utani wa makabila, pia utumiaji wake wasimu na kushona nguo pina nao umehusika. Utani huu sio kwa dharau na kejeli ila ni utani wa kujenga na kuonyesha upendo kwa raisi wetu baada ya kutuonyesha kuwa hajajilimbikizia.

kaza Buti Raisi wetu.
Hapa kazi tu...

Friday, January 22, 2016

Mshabiki maarufu wa Yanga maarufu kama "Ally Yanga" apata ajali.... SOMA HAPA kwa Maelezo zaidi....


Wakati Yanga ikiibuka na ushindi wa bao 5-0, magoli yaliofungwa na Thabani Kamusoko, Donald Ngoma na Amis Tambwe alieibuka shujaa kwenye mchezo huo baada ya kufunga goli tatu (hat-trick) na kuipeleka Yanga kileleni mwa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara.


Hali si shwari kwa Mshabiki Mkubwa na maarufu wa Yanga ajulikanae kama "Ally Yanga" ambae katika safari yake ya kwenda kupumzika kwake huku akiwa na furaha ya Ushindi alipata ajali ya Pikipiki usiku wa kuamkia leo, na kukimbizwa hospitali. Hili ni pigo kwa wachezaji na mashabiki wenzake..

Mungu amsaidie..


Thursday, January 21, 2016

Msukule Dar... Mfanyabiashara Dar akutwa na Msukule... Picha zote na video hapa.....

Mwanamke akutwa ndani ya chemba (sewage) ya Mkazi/Mfanyabiashara Mchagga wa Kibamba aliyejulikana kwa jina la Mtei. Amefikaje? Haikufahamika ila walisikika wananchi wakisema ni msukule.

Njia hizi za kupata pesa kinyama sio nzuri ikizingatiwa kuwa ubinadamu ni zawadi toka kwa Mungu na wote tu sawa tofauti ya kipato ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu.


PICHA NYINGINE ZIMEHIFADHIWA KWA KULINDA UTU


Video:https://www.facebook.com/100003865677537/videos/623034221168761/






MTOTO WA MWENYE NYUMBA AKANA.


Kuna picha zinasambaa na ujumbe unaosema kuwa nyumba iliyoko eneo la Kibamba ya mfanyabiashara Mchagga Mtei wa mabasi imekutwa na msukule, naomba kukanusha uvumi huo kwa niaba ya familia. Mtei wa mabasi hana nyumba Dar es salaam wala hana mtoto yoyote anaeishi Dar es salaam. Hatuelewi ni kwanini wameamua kusambaza uvumi huo iwe kwa sababu ya biashara au kuchafulia ukoo jina, tungeomba mchunguze vizuri habari hizo na pia source ya habari hiyo kama Ni reliable. Mimi Ni ndugu na mjukuu pekee wa mzee Nderasio Mtei (Mtei wa mabasi) ninayeishi Dar es salaam.

Haika Mtei



Akana ushahidi wa picha na vingine kama ilivyoonyeshwa, hatuta ingilia ila si sawa na si tabia nzuri.....

Tuesday, January 19, 2016

The 20 Most Successful Football Managers of All Time


    20. Pep Guardiola
    Barcelona
    La Liga: 2009, 2010, 2011 (3)
    Copa del Rey: 2009, 2012 (2)
    UEFA Champions League: 2009, 2011 (2)
    FIFA Club World Cup: 2009,c 2011 (2)

    Bayern Munich
    Bundesliga: 2014
    DFB Pokal: 2014
    FIFA Club World Cup: 2013

    TOTAL: 12


    19. Albert Batteux

    Stade de Raim
    Ligue 1: 1953, 1955, 1958, 1960, 1962 (5)
    Coupe de France: 1958

    Saint-ร‰tienne
    Ligue 1: 1967, 1968, 1969, 1970 (4)
    Coupe de France: 1968, 1970 (2)


    18. Guus Hiddink

    PSV Eindhoven
    Eredivisie: 1987, 1988, 1989, 2003, 2005,
    2006 (6)
    KNVB Cup: 1988, 1989, 1990, 2005 (4)
    European Cup: 1988

    Chelsea
    FA Cup: 2009

    TOTAL: 12


    17. Louis van Gaal

    Ajax Amsterdam
    Eredivisie: 1994, 1995, 1996 (3)
    KNVB Cup: 1993
    Champions League: 1995
    UEFA Cup: 1992

    Barcelona
    La Liga: 1998, 1999 (2)
    Copa del Rey: 1998

    AZ
    Eredivisie: 2009

    Bayern Munich
    Bundesliga: 2010
    DFB Pokal: 2010

    TOTAL: 12

    16. Helenio Herrera

    Atletico Madrid
    La Liga: 1950, 1951 (2)

    Barcelona
    La Liga: 1959, 1960 (2)
    Copa del Rey: 1959, 1981 (2)

    Internazionale
    Serie A: 1963, 1965, 1966 (3)
    European Cup: 1964, 1965 (2)

    Roma
    Coppa Italia: 1969

    TOTAL: 12

    15. Rinus Michels

    Ajax Amsterdam
    Eredivisie: 1966, 1967, 1968, 1970 (4)
    KNVB Cup: 1967, 1970, 1971 (3)
    European Cup: 1971

    Barcelona
    La Liga: 1974
    Copa del Rey: 1978
    FC Kรถln
    DFB Pokal: 1983

    Netherlands
    European Championship: 1988

    TOTAL: 12

    14. Tomislav Ivic

    Hadjuk Split
    Yugoslav First League: 1974, 1975, 1979
    (3)
    Yugoslav Cup: 1972, 1973, 1974, 1976 (4)
    Ajax Amsterdam
    Eredivisie: 1977

    Anderlecht
    Belgian Pro League: 1981
    Panathinaikos
    Alpha Ethniki (Greek league): 1986

    FC Porto
    Portuguese Primeira Liga: 1988
    Taรงa de Portugal: 1988

    Atletico Madrid
    Copa del Rey: 1991

    TOTAL: 13

    13. Marcelo Lippi

    Juventus
    Serie A: 1995, 1997, 1998, 2002, 2003 (5)
    Coppa Italia: 1995
    UEFA Champions League: 1996

    Italy
    World Cup: 2006

    Guangzhou Evergrande
    Chinese Super League: 2012, 2013, 2014
    (3)
    Chinese FA Cup: 2012
    AFC Champions League: 2013

    TOTAL: 13

    12. Bob Paisley

    Liverpool
    Football League First Division: 1976,
    1977, 1979, 1980, 1982, 1983 (6)
    League Cup: 1981, 1982, 1983 (3)
    UEFA Cup: 1976
    European Cup: 1977, 1978, 1981 (3)

    TOTAL: 13

    11. Ernst Happel

    ADO Den Haag
    KNVB Cup: 1968

    Feyenoord
    Eredivisie: 1971
    European Cup: 1970

    Club Brugge
    Pro League: 1976, 1977, 1978 (3)
    Belgian Cup: 1977
    Standard Liege
    Belgian Cup: 1981

    Hamburger SV
    Bundesliga: 1982, 1983 (2)
    DFB Pokal: 1987
    European Cup: 1983

    FC Swarovski Tirol
    Austrian Bundesliga: 1989, 1990 (2)
    Austrian Cup: 1989

    TOTAL: 14

    10. Miguel Muรฑoz

    Real Madrid
    La Liga: 1961, 1962, 1963, 1964, 1965,
    1967, 1968, 1969, 1972 (9)
    Copa del Rey: 1962, 1970, 1974 (3)
    European Cup: 1960, 1966 (2)

    TOTAL: 14

    9. Udo Lattek

    Bayern Munich
    Bundesliga: 1972, 1973, 1974, 1985, 1986,
    1987 (6)
    DFB Pokal: 1971, 1984, 1986 (3)
    European Cup: 1974

    Borussia Mรถnchengladbach
    Bundesliga: 1967, 1977 (2)
    UEFA Cup: 1979

    Barcelona
    UEFA Cup Winners’ Cup: 1982
    Copa de la Liga: 1983

    TOTAL: 15

    8. Ottmar Hitzfeld

    FC Aarau
    Swiss Cup: 1985

    Grasshopper
    Swiss Super League: 1990, 1991 (2)
    Swiss Cup: 1989, 1990 (2)

    Borussia Dortmund
    Bundesliga: 1995, 1996 (2)
    UEFA Champions League: 1997

    Bayern Munich
    Bundesliga: 1999, 2000, 2001, 2003, 2008
    (5)
    DFB Pokal: 2000, 2003, 2008 (3)
    UEF Champions League 2001

    TOTAL: 17

    7. Jose Mourinho

    FC Porto
    Primeira Liga: 2003, 2004 (2)
    Taรงa de Portugal: 2003
    UEFA Cup: 2003
    UEFA Champions League: 2004

    Chelsea
    Premier League: 2005, 2006, 2015 (3)
    FA Cup 2007
    Football League Cup: 2005, 2007, 2015 (3)

    Internazionale
    Serie A: 2009, 2010 (2)
    Coppa Italia: 2010
    UEFA Champions League: 2010

    Real Madrid
    La Liga: 2012
    Copa del Rey: 2011

    TOTAL: 18

    6. Giovanni Trapattoni

    Juventus
    Serie A: 1977, 1978, 1981, 1982, 1984,
    1986 (6)
    Coppa Italia: 1979, 1983 (2)
    European Cup: 1985
    UEFA Cup: 1977, 1993 (2)
    UEFA Cup Winners’ Cup: 1984

    Internazionale
    Serie A: 1989
    UEFA Cup: 1991

    Bayern Munich
    Bundesliga: 1997
    DFB Pokal: 1998

    Benfica
    Primeira Liga: 2005
    Red Bull Salzburg
    Austrian Bundesliga: 2007

    TOTAL: 18

    5. Walter Smith

    Rangers
    Scottish Premier League: 1991, 1992,
    1993, 1994, 1995, 1996, 1997, 2009, 2010,
    2011 (10)
    Scottish Cup: 1992, 1993, 1996, 2008, 2009
    (5)
    Scottish League Cup: 1993, 1994, 1997,
    2008, 2010, 2011 (6)

    TOTAL: 21

    4. Mircea Lucescu

    Dinamo BucureลŸti
    Liga I: 1990
    Cupa Romรขniei: 1986, 1990 (2)

    Rapid BucureลŸti
    Liga I: 1999
    Cupa Romรขniei: 1998

    Galatasaray
    Sรผper Lig: 2002

    BeลŸiktaลŸ
    Sรผper Lig: 2003

    Shakhtar Donetsk
    Ukrainian Premier League: 2005, 2006,
    2008, 2010, 2011, 2012, 2013, 2014 (8)
    Ukrainian Cup: 2004, 2008, 2011, 2012,
    2013 (5)
    UEFA Cup: 2009

    TOTAL: 21

    3. Valeriy Lobanovskyi

    Dynamo Kyiv
    Soviet Top League: 1974, 1975, 1977,
    1980, 1981, 1985, 1986, 1990 (8)
    Ukrainian Premier League: 1997, 1998,
    1999, 2000, 2001 (5)
    Soviet Cup: 1974, 1978, 1982, 1985, 1987,
    1990 (6)
    Ukrainian Cup: 1998, 1999, 2000 (3)
    UEFA Cup Winners’ Cup: 1975, 1986 (2)

    TOTAL: 24

    2. Jock Stein

    Celtic
    Scottish First Division: 1966, 1967, 1968,
    1969, 1970, 1971, 1972, 1973, 1974, 1977
    (10)
    Scottish Cup: 1965, 1967, 1969, 1971,
    1972, 1974, 1975, 1977 (8)
    Scottish League Cup: 1966, 1967, 1968,
    1969, 1970, 1975 (6)
    European Cup: 1967

    TOTAL: 25

    1. Sir Alex Ferguson

    Aberdeen
    Scottish Premier Division: 1980, 1984,
    1985 (3)
    Scottish Cup: 1982, 1983, 1984, 1986 (4)
    Scottish League Cup: 1986
    UEFA Cup Winners’ Cup: 1983

    Manchester United
    Premier League: 1993, 1994, 1996, 1997,
    1999, 2000, 2001, 2003, 2007, 2008, 2009,
    2011, 2013 (13)
    FA Cup: 1990, 1994, 1996, 1999, 2004 (5)
    Football League Cup: 1992, 2006, 2009,
    2010 (4)
    UEFA Cup Winners’ Cup: 1991
    UEFA Champions League: 1999, 2008 (2)
    


    TOTAL: 34



    FIFA Club World[truncated by WhatsApp]

Saturday, January 16, 2016

DARASA LA ALAMA MBALIMBALI ZA MOBILE NETWORKS

Terminologies 2G, 3G, H, H+ au E etc, je maana yake ni nini kwenye network?
Ni speed zinazotumika kusafirisha data kwenye internet ambapo zinatofautiana uwezo kutokana na teknolojia:
1. Letter G stands for GPRS (General Packet Radio Service) na ndio first generation ya mobile phone
Hua inamaanisha spidi ya internet yako ni ndogo sana (86kbps)
technology.
2. Letter E stands for EDGE (Enhanced Data Rates for GSM evolution) hua inamaanisha speed ya internet yako ni ndogo ila ina afadhali kidogo kuliko G (236kbps)
3. Letter 2G (Second Generation) Ni generation ya pili ya mobile phone technology ambayo nayo inatumia GPRS system lakini speed yake ni kubwa kidogo than letter G, (154kbps) ila ni ndogo than letter E yaani ipo katikati ya G na E.
4. Letter 3G (Third Generation of mobile technology) Inatumia UMTS & imebase kwenye GSM system, na ina speed kubwa kuliko hizo (speed yake 386kbps)
5. Letter H stands for HSPA (High Speed Packet Access) Ni muendelezo baada ya 3G ambayo ina speed kubwa (like 3.2 Mbps)
6. Letter H+ stands for enhanced HSPA, Yaani hii ina speed kubwa zaidi ya H kama nilivyoielezea inauwezo wa kutransfer data up to 7.2 Mbps, ndio inayotumika kwenye simu nyingi nowadays.
7. Letter 4G (Fourth Generation of Mobile phone Technology) pia inajulikana kwa jina la LTE (Long Term Evolution).
Model hii ndio current kwa sasa ambayo inatumia H+, so itakuwa na speed kubwa zaidi (like 14.4mbps to 21mbps)
8. Letter WCDMA stands for Wide-band Code-division Multiple Access. Inatumia teknolojia ya 3G ila imeongezewa GSM ambayo inaiongezea speed ya kusafirisha data na ndiomaana simu nyingi zimeitumia kabla ya kuja kwa 4G.
So ukiona alama hizo kwenye simu yako maana yake ni kama nilivyozielezea hapo awali.

NB: Nimeongelea kuhusu kbps na Mbps maana yake ni:
Mbps:  maana yake ni Mega bits per second yani kiasi cha data kinachoweza kusafirishwa kwa sekunde kwenye internet.
Kbps:  maana yake ni kilobits per second, hii ni ndogo kuliko mbps.
i.e. 1 kbps = 0.001mbps
Nafikiri kila mtu atakuwa ameelewa hizo network symbols kwenye simu yake.
But sometime unaweza ukaona alama hizo zinabadilika badilika kwenye sim yako inakuwa ni kwasababu ya kupanda na kushuka kwa mawimbi ya internet
So internet signal ikiwa vizuri alama inabadilika to H hadi H+ na ikiwa low inashuka to 3G had 2G au G, kulingana na version ya simu.

Nafikiri sasa hutamlaumu aliyekuuzia simu kwa kusema haikai 3G, tatizo litakuwa ni la network au technology ya simu yako.

Tuesday, January 12, 2016

Ballon d'Or 2015 award: Messi wins for the fifth time, while Carli Lloyd won the women’s player of the year award

Lionel Messi has won the 2015 FIFA Ballon d'Or award, scooping the best player in the world accolade for a record fifth time.

The 28-year-old claimed the 2015 award - voted for by a panel of journalists, international coaches and captains - at the annual ceremony in Zurich on Monday evening.

Messi earned 41.33 per cent of the votes, ahead of Cristiano Ronaldo with 27.76 per cent and Neymar with 7.86 per cent.

Other
• Jill Ellis wins World Women's Coach of the Year
• Luis Enrique wins Coach of the Year
• Wendell Lira wins Puskas Award
• Carli Lloyd wins Women's World Player of the Year



Source:
http://www.skysports.com/football/news/11095/10126730/lionel-messi-wins-unprecedented-fifth-fifa-ballon-dor-award

Saturday, January 9, 2016

HESHIMA ya Bia.... Kwa wanywaji tu.... Kama uko UNDER 18 PLEASE, DO NOT READ....

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia,
chupa ya kwanza ๐Ÿบ huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza koo... Na mara nyingi huwa mkimya, pengine huwa anasoma gazeti lake au kwa siku hizi anawasiliana na ndugu na jamaa kupitia simu yake.

chupa ya pili ๐Ÿบ๐Ÿบ kimsingi ndipo mazungumzo ya awali na wanywaji jirani  huanza na haya huwa mazungumzo ya busara, yakihusu muelekeo wa ligi mbalimbali, siasa, idadi za ajali na kadhalika na wakati huu hata takwimu hutolewa zilizo sahihi....
Mtu anaweza kukutajia wachezaji wote wa ligi daraja la tatu la huko Ujerumani bila kukosea, hata idadi ya wachezaji wa Yanga bila kukosea.. Ila wakati huu kama unaanzisha mashindano ya kucheua ni wakati mzuri kwani bia ya pili huongeza hisia za kucheua.
Bia ya tatu ๐Ÿบ๐Ÿบ๐Ÿบ huanza kumfanya mnywaji aanze kusikia furaha na pia huu huwa wakati ambapo karanga na korosho huliwa sana.... Pamoja na mazungumzo kuhusu mpira na siasa, ghafla mazungumzo kuhusu michepuko huanza kujitokeza.....

Bia ya nne ๐Ÿบ๐Ÿบ๐Ÿบ๐Ÿบ huanza kusababisha masikio yaanze kupoteza nguvu za kusikia kwani utaona mnywaji ghafla amepandisha sauti, na ukijumlisha na kuwa baa zetu huwa na muziki una kelele utadhani waliopo wote wana matatizo ya kusikia..... bia hii humsaidia kuongea kwa nguvu kushindana na kelele za muziki.

Bia ya tano ๐Ÿบ๐Ÿบ๐Ÿบ๐Ÿบ๐Ÿบ ni hatari kidogo kwani ukiinuka kwenda chooni mara nyingi unarudi hujafunga zipu......na kipindi hiki ni kibaya kwa wanywaji wa kike maana unaweza kumkuta akienda chooni  akijiangalia kwenye kioo anaanza kulia peke yake na kulalamika;  ‘Mi sipendwi mpaka leo sijaolewa’ au ‘ Mume wangu sijui yukoje hanijali’
Japokuwa lazima isemwe ukweli ukifikisha bia hii, maisha ni raha sana unaweza ukaanzisha shoo ya kukata mauno katikati ya baa na kudai wewe ni mkali kuliko Shilole.

Kuanzia bia ya sita ๐Ÿบ๐Ÿบ๐Ÿบ๐Ÿบ๐Ÿบ๐Ÿบ na kuendelea, chochote utakachosema au kufanya ni wazi kesho yake asubuhi utajilaumu sana.  .......  ...Kuna watu husema ukilewa ndipo unakuwa mkweli, hivyo basi wakati huu hata bosi wako akitokeza unamueleza ukweli jinsi alivyo fala na hajui kuendesha kampuni.

Au unasema ukweli jinsi unavyompenda mke wa jirani yako ambaye mmekaa mnakunywa naye. Kimsingi uwezekano wa kutapika pia upo karibu na kama umekaa na mchumba wako huu ni muda ambao pia uchumba unaweza kuvunjika.......



POMBE SIO CHAI


Thursday, January 7, 2016

DAWA YA UKIMWI KUPATIKANA, Spanish Doctors Believe They've Found a Cure for HIV..


While Africans and the world at large ikitapatapa and distressed by the AIDS pandemic, the medical team of spain, have found a method that has been successful healing effect pandemic of HIV from where they took the blood are present in the tubes umbilika which reportedly has the ability to stop diseases properly as advised mothers victim infect his son, in an attempt lililotumia three months, this research is a continuation of research institutions like Harvard and otherwise ....
know more ......

Doctors in Barcelona, Spain, announced earlier this month that they believe they’ve found a cure for HIV, according to the Latin PostBut don’t hold your breath, it's not going to be available overnight.
Similar to the report published by Harvard researchers, the Spanish research team hypothesize that a blood transplant from a donor with a genetic mutation could prevent HIV from entering cells and replicating.
The announcement is based on results of an experimental treatment given to a 37-year-old man who contracted HIV in 2009. The “Barcelona Patient” developed lymphoma in 2012. He received chemotherapy and a transplant of blood from an umbilical cord of a donor who had a genetic mutation that gave the donor a heightened resistance to HIV.
"We suggested a transplant of blood from an umbilical cord but from someone who had the mutation because we knew from 'the Berlin patient' that as well as [ending] the cancer, we could also eradicate HIV," Rafael Duarte, the director of the Haematopoietic Transplant Programme at the Catalan Oncology Institute in Barcelona, explained to Spanish news site The Local.
People with the CCR5 Delta 35 genetic mutation that leaves them without CCR5 cellular receptors, which act like doorways to the cell. HIV uses CCR5 receptors to enter white cells for replication. This heightened resistance to HIV occurs in about 1 percent of the population.
The Spanish medical team sought to replicate the results of Timothy Brown, an HIV-positive man dubbed "the Berlin Patient," who received an experimental bone marrow transplant from a donor with the mutation. Brown had leukemia and HIV but six years later shows no signs of the virus.
The treatment seemed to work, as the Barcelona Patient was HIV free after three months, but unfortunately died due to cancer. The development spurred Spain’s National Transplant Organization to back the world's first clinical trials of umbilical cord blood transplants for HIV patients with blood cancers, according to the Latin Post. Javier Martรญnez, a virologist from the research foundation Irsicaixa, is quoted as saying that while their trials are aimed at helping HIV-positive cancer patients but it could "allow us to speculate about a cure for HIV."


from http://www.hivplusmag.com