Saturday, January 23, 2016

Simu ya Raisi yawa gumzo mitandaoni..... Wengi wahusisha na utani wa lile kabilaa... Unajua ni lipi...

Raisi Dk. John Pombe Magufuli ameonekana kujali taifa kuliko yeye baada ya kuonekana akishona nguo yake mwenyewe na pia akijitadi kupunguza wafanyakazi na hata kutumia karatasi za daftari katika nyaraka zake mbali mbali.
Hii imepelekea kumuhusisha na utani wa makabila, pia utumiaji wake wasimu na kushona nguo pina nao umehusika. Utani huu sio kwa dharau na kejeli ila ni utani wa kujenga na kuonyesha upendo kwa raisi wetu baada ya kutuonyesha kuwa hajajilimbikizia.

kaza Buti Raisi wetu.
Hapa kazi tu...

No comments:

Post a Comment