Thursday, January 21, 2016

Msukule Dar... Mfanyabiashara Dar akutwa na Msukule... Picha zote na video hapa.....

Mwanamke akutwa ndani ya chemba (sewage) ya Mkazi/Mfanyabiashara Mchagga wa Kibamba aliyejulikana kwa jina la Mtei. Amefikaje? Haikufahamika ila walisikika wananchi wakisema ni msukule.

Njia hizi za kupata pesa kinyama sio nzuri ikizingatiwa kuwa ubinadamu ni zawadi toka kwa Mungu na wote tu sawa tofauti ya kipato ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu.


PICHA NYINGINE ZIMEHIFADHIWA KWA KULINDA UTU


Video:https://www.facebook.com/100003865677537/videos/623034221168761/






MTOTO WA MWENYE NYUMBA AKANA.


Kuna picha zinasambaa na ujumbe unaosema kuwa nyumba iliyoko eneo la Kibamba ya mfanyabiashara Mchagga Mtei wa mabasi imekutwa na msukule, naomba kukanusha uvumi huo kwa niaba ya familia. Mtei wa mabasi hana nyumba Dar es salaam wala hana mtoto yoyote anaeishi Dar es salaam. Hatuelewi ni kwanini wameamua kusambaza uvumi huo iwe kwa sababu ya biashara au kuchafulia ukoo jina, tungeomba mchunguze vizuri habari hizo na pia source ya habari hiyo kama Ni reliable. Mimi Ni ndugu na mjukuu pekee wa mzee Nderasio Mtei (Mtei wa mabasi) ninayeishi Dar es salaam.

Haika Mtei



Akana ushahidi wa picha na vingine kama ilivyoonyeshwa, hatuta ingilia ila si sawa na si tabia nzuri.....

No comments:

Post a Comment