Wednesday, December 30, 2015

Prof. Msoffe is the new DEPUTY VICE CHANCELLORS OF THE UNIVERSITY OF DODOMA

APPOINTMENT OF DEPUTY VICE CHANCELLORS OF THE UNIVERSITY OF DODOMA  
The Chancellor of the University of Dodoma; H.E. Benjamin William Mkapa has appointed new Deputy Vice Chancellors of the University of Dodoma.

Prof. Peter Lawrence Makenga Msoffe has been appointed Deputy Vice Chancellor - Academic, Research and Consultancy for tenure of four (4) years from 1st January 2016 to 31st December 2019. On the other hand, Prof. Ahmed Ame has been appointed Deputy Vice Chancellor - Planning, Finance and Administration for tenure of four (4) years from 1st July 2016 to 30th June 2020.

These appointments followed recommendations of Search Team for Deputy Vice Chancellors of the University of Dodoma and Resolutions of the 45th meeting of the Executive Committee of the University of Dodoma Council held on 18th November, 2015.

Prof. Msoffe takes over the position from Prof. Ludovick Dominick Bati Kinabo whose tenure ends on 31 December, 2015 while Prof. Ame will take over the position from Prof. Shaaban Ali Kachenje Mlacha whose tenure ends on 30th June 2016.

Prior to these appointments, Prof. Msoffe has been serving as Director of Undergraduate Studies from 1st July 2011 to date. On the other hand, Prof. Ame has been serving as Director of Graduate Studies from 1st July, 2008 to date.

The Council, Management and the entire community of the University of Dodoma would like to sincerely congratulate Prof. Msoffe and Prof. Ame for their deserved appointments. We wish them the best of luck in their new appointments as Deputy Vice Chancellors of the University of Dodoma.

Friday, December 18, 2015

2015 Collections: Picha na video zote za Wanafunzi wakikatika, Madarasani, hosteli na vyumbani......


Huyu wa SAUT akikatikaa chumbani...
Shule moja ya sekondari



Hawa wakila uroda njiani...


Hawa hadi chupa ikitumikaaa...
Hawa wanafanya hosteli...



Wednesday, December 9, 2015

Uhuru day yageuka Usafi Day... Waziri Mkuu Bwana Kassim Majaliwa aitembelea K/koo...

Katika hali inayo staajabisha, Waziri mkuu wa Jamhuri ya Tanzania ameoneka Kariakoo jijini Dar es salaam ambapo watu walimpokea kwa shangwe na kazi za usafi ikiwa ni moja kati ya tekelezo la raisi wa awamu ya tano Bwana John Pombe Magufuli.

Wakazi wa Kariakoo walifarijika na kutembelewa na Waziri Mkuu huyo ktokana na viongozi wengi kutokumbuka sehemu hizo na wakiwaliamua kumuunga mkono waziri mkuu wa Tanzania huku wakisindikiza kwa nyimbo na shangwe ikiwemo sehemu  ilionukuliwa kuwa "Mafisadi wataisoma namba", huku wengine wakisema,"Tumbueni Majipu, chunusi mpaka manundu".

Sehemu mbalimbali za Dar es salaam zimeonekana zikifanyiwa usafi, hii ikijumuisha usafi wa majumbuni na Masokoni mfano mzuri umeoneshwa katika soko maarufu la Mbuzi vingunguti ambapo uchafu ulizoeleka sana, sasa limependeza na usafi bado kuendelea.

Sunday, December 6, 2015

JINSI YA KUWEKA LENGO NA KUFANIKISHA

KWANINI TUNAWEKA MALENGO?
1. Tunaweka malengo kwasababu ni kitu sahihicha  kufanya, ni sawa na kucheza mpira bila nguzo za goli au viashiria vya sehemu ya kufunga haita kuwa na maana sahihi ya mchezo.

2. Kuweka malengo husaidia katika kujiweka imara kufikia mafanikio katika shughuli zako.

3. Kuweka malengo hukusaidia kujenga nidhamu sahihi kuelekea mafanikio yako.

4. Kuweka malengo hukusaidia kujua maendeleo ya shughuli zako, pia ni njia ya kupima mafanikio katika muda fulani.

5.Kutokuwepo na lengo ni sawa na kutokuwa na upeo na mipango katika shughuli zako.

JINSI YA KUWEKA NA KUYAFIKIA MALENGO

1. Andika Lengo Wanasema mali bila daftari hupotea bila habari, lengo ni mali yako usipoiandika hupotea kama ndoto, na kuandika huleta uhalisia wa malengo yako.

2.Andaa Lengo
Lengo huitaji maandalizi thabiti ili liwe uhalisia, bila maandalizi thabiti lengo huwa kama ndoto nyingine yaani hupotea na kukuachia kumbukumbu,japo kama umefika sehemu ya maandalizi waweza pata hata hasara, maandalizi yaweza chukua hata miaka miwili lakini yasizidi hapo.

3. Fanya Lengo
Lengo linaweza kuwa kubwa lakini ukianza hata kufanya kidogo kidogo husaidia na kukufariji maana umefanya jambo muhimu kuanza, na kushaanza usitegee matokeo ya papo kwa hapo, hakuna kitu chenye malipo ya sekunde hiyo hiyo, hata dawa huchelewa kufanya kazi hata kama inaponyesha.

4. Fanikisha Lengo
Baada ya kufanya shunguli uliopanga kidogo kama kianzio, huu ni muda wa kutimiza lengo kamili. Unaweza kuwa ni wakati mgumu  sana lakini ukijiamini na kutumia malighafi zote zilizokuzunguka kama watu, ardhi nakadhalika linaweza fanyikiwa.

5.Dumisha Lengo
Lengo linatakiwa lidumu ili isionekane kama umeshindwa kuendeleza lengo lako, muda wa kudumu lengo lililo pangwa hutengemea na jinsi ulivyoliandaa lengo lako litumike muda gani.

6.Kuza Lengo
Lengo lako kama limeandaliwa kaajili ya watu au sehemu Fulani linatakiwa likuzwe ili lisaidie wengi, na hii huitaji gharama na kujipanga ila huwezekana sana tu.

7.Shirikisha Lengo
Kishirikishana ni upendo, na jinsi unavyoshirikisha wengine ndio jinsi unavyopata mawazo mapya juu ya malengo yako, lakini angalia unavyoshirikisha maana sa nyingine wengine huvunja moyo.


Ni wakati wa mafanikio SHARE kama unahisi imekusaidia.

Sunday, November 29, 2015

Mtoto umleavyo, ndivyo akuavyo!!!

Wazazi wengi huwagombeza watoto wakikuwa kuwa wamebadilika na mara nyingi hawana heshima. Ni jambo la kawaida kwa familia nyingi wazazi huishia kujiuliza na kusingizia tabia mtoto katoa wapi, lakini tokana na uhalisia tabia yeyote anayoonyesha mtoto inatoka katika jamii imzungukayo.
Tutoke nje ya nchi kidogo tumwangalie Will Smith muigizaji mwenye asili ya kiafrika amerika (yaani black America) ambaye familia yake yote imedumbukia kwenye uigizaji.
Tukirudi Tanzania tunakutana na msanii hayati TX Moshi ambaye mwanae yupo kwenye tasnia ya sanaa ya kuigiza.
Je hawa walelewao wengine na wasanii wa kizazi hiki watakuwaje?, Je wataiga maisha ya baba zao? au watapata njia nyingine?


Saturday, November 28, 2015

Kukagua simu ya mwenza wako ni kujiumiza roho, Mwone Diamond akitafuta ugomvi kwa Zari.

Wapenzi wengi wana tabia za kuchunguza simu za wenzao,  hii ni sababu ya kukosa uaminifu. Hii tabia sio nzuri maana hupunguza uaminifu ndani ya mahusiano.
Msanii Diamond atangaza kutohusika na kuchunguza simu ya mpenzi wake Zari, lakini picha hii haionyeshi uuhalisia.

Sababu 10 zivunjazo ndoa nyingi... Vijana na Wanandoa soma hapaa....

1. upendo
Upendo wa kweli ni jambo muhimu sana katika maisha ya ndoa, vijana wengi hukimbilia ndoa kisa mali hasa vijana wa kike, bila kusahau ndoa ni pingu za maisha na huyo mtu utakaa nae milele. Upendo wa kweli usipokuwepo katika ndoa hii ndoa haiita dumu maana amani haita kuwepo pia faraja kati ka wanandoa haitopatikana na hio ndoa kugeuka maigizo.

2. uaminifu
Kama upendo wa kweli ukiwepo ndani ya nyumba, uaminifu hasa ndio waaitajika, kama hamta aminiana vitu vidogo tu vitawatenganisha, maana jamii kawaida huonea wivu ndoa na kutupa mishale ya maneno na matendo ili kuijeruhi ndoa yenu, na siri za ndani ni zenu kama wana ndoa sio za wote, na kama uaminifu hauta kuwepo ndoa itakaa kwa mashaka, na ndoa ya mashaka haidumu.

3. Msamaha
Kuna msemo wa kiingereza unasema “no body is perfect” kiswahili inamaana kuwa, “hakuna alie msafi” hii inamaanisha kuwa binadamu hukosema na anahitajika kusamehewa,kama ndoa haita weka msamaha kama ngao yao, muhimili wa ndoa hii uko matatani.

4.Uvumilivu
 Ndoa imeundwa na watu wawili ambao walitoka nyumba tofauti na maisha tofauti kabisa, ndoa huwajumlisha kutokana na tofauti zao, kabla ya ndoa kuna kitu kinachoitwa courtship(Uchumba) hiki ni kipindi ambacho wapenzi hujuliana tabia zao na kuunganisha tofauti zao na kawaida hutumia mwaka 1 mpaka 4 na ikizidi hapo ni tatizo, kukiruka au kukizidisha hiko kipindi huaribu ndoa nyingi sana na kama hapakuwa na maelewano ya tabia hapa mnaruhusiwa kuachana na kama ukilazimisa hiyo ndoa haitadumu.

5.Mawazo Mgando
Katika ndoa wanawake wengi huwategemea wanaume katika kutafuta, na hata wengine wakijiita ni wanawake wa nyumbani, pia kuna wanaume wanao lelewa, ndoa haiwezi endelea kama hapatakuwa na maendeleo maana mwaweza pata watoto na kipato toka uchumba hadi mna watoto watatu ni kile kile mwisho wa siku ndoa huvunjika kisa kipato shida, mwanandoa kutumia njia mbadala(wizi, uzinzi n.k), kwa mwanamke epuka kuwa mke wanyumbani na mwanaume atafute kazi, hii pia husaidia katika tendo maana wote mnakuwa mmechoka tendo mnafanya kutafuta usingizi, vinginevyo ndio mchepuko unapoanzia.

6. Mazoea
Mke ndio mpishi wa chakula cha ndoa, hata katika mapishi ya kawaida chakula huwa kina badilishwa tokana na ratiba au mpishi atavyojisikia, chakula cha ndoa kinaitaji maandalizi sawa na chakula cha tumbo, namaanisha kuwa mke na mume wanahitaji kujiandaa na kama hawatajiandaa hata  dakika 1 mwanaume hatafika yaani ataonja tu chakula cha ndoa na kulala, hii ni sawa na maisha ya kawaida ya nyumbani, nyumba inatakiwa iwe safi na ibadilishwe mipango kuondoa mazoea, pia chakula kinahitaji kubadilika sio sikukuu tu, na  wapenzi wabadilike hata pawe na out.

7.kutotambua wajibu
Katika jamii yetu tumelelewa tukitambua wajibu wetu kwa kila jinsia tokana malezi na tamaduni, mwanaume alete chakula mezani  na mwanamke apike, lakini maisha yana badilika na sio kila siku sawa, mfano mke anamimba na vyombo havijaoshwa na nguo hazijafuliwa mwanaume akijitolea sio mbaya , tutambue wajibu wetu ili pande fulani isilalamike maana pakitokea malalamiko ndio mwanzo wa ndoa kuvunjika.

8.utii
Tukishatambua wajibu wetu na utii hufuata, hili ni jambo muhimu katika ndoa, kama utii haupo ndoa na hata familia yote inaweza tengana, usemapo utii tunaanzia kutoka kwa mtoto mpaka kwa kichwa cha familia.

9. Uchafu
Hili ni tatizo kubwa sana ambalo huwezwa kufichwa katika kipindi cha uchumba, ila ni shida kulificha katika kipindi cha ndoa maana mko mwili mmoja, usafi unaoitajika ni wa mwili na roho, mwili unahusisha kuoga, kunawa miguu kabla ya kulala, sehemu za ndani za siri, harufu za makwapa, nakadhalika.Usafi uzingatiwe katika ndoa na wanandoa wajaribu kufanya usafi kuwa sehemu ya maisha yao maana kuna msemo usemao, “Ishi uongo mpaka uongo uwe maisha yako”.



10.kusahau uwepo wa Mungu

Uwepo wa Mungu katika ndoa hulinda tabia za wanadoa, ulinzi huu hufuatana na vitabu vya dini, ambavyo kazi zao ni kulinda maadili katika jamii, kusahau uwepo wa Mungu katika jamii huleta maovu ambayo husababisha mafarakano katika ndoa na hata kuvunjika kwake.

Saturday, November 21, 2015

Sababu za Mwanaume Kuchepuka, Jua akichepuka anamaanisha nini?

Tamaduni za kiafrika zimempa nguvu sana mwanaume katika maisha na jamii kwa ujumla, kitendo hiki kina mpa ujasiri na hata husababisha  kuweza na kutamani kujaribu vitu vingi tu ikiwa kama kuonja ladha ya mwanamke mwingine zaidi ya mpenzi wake ikiwa kama jaribio.
Hali hii inaonekana ni mazoea au ukaidi ila kwa mtazamo wangu ndio Mwanaume alivyoumbwa, ameumbwa akitamani chochote kizuri na kukichukua na ndio maana nirahisi yeye kupata maendeleo binafsi.
Tuchukulie mfano wa jogoo, anaweza pita kwa matetea wote wa jirani pale ambapo jogoo wa jirani ni mdhaifu na hawezi kutetea tetea walio mzunguka, sawa na wanaume, hupita na kudonyoa kwa wanaume wenziwe wasio linda malizao vizuri!, kama vile jogoo hatasahau nyumbani na kutoa chakula kwa kila tetea atakae mpita na mwanaume yuko vile vile(wanaita kuhongwa)...


Bila kusahau jogoo hurudi nyumbani jioni na kutunza wanawe alio waacha kwa mama yao siku nzima bila kujua wamekula nini, pia mwanaume ni sawa sawa maana hajui familia imekula nini bali huleta kidogo kilichobaki baada ya kula na michepuko huku akijisikitikia vingi alivyopoteza.
Maana ya kurudi mwishoni ni kudhirisha upendo mwanaume alionao kwa mwenzi wake ambao hakuupata huko alipopita, na asiporudi ujue upendo uliompa hauna mashiko.
Huyu mzee nuksi!!, hata akifanya yake tutasema anaigiza.