Wednesday, December 30, 2015

Prof. Msoffe is the new DEPUTY VICE CHANCELLORS OF THE UNIVERSITY OF DODOMA

APPOINTMENT OF DEPUTY VICE CHANCELLORS OF THE UNIVERSITY OF DODOMA  
The Chancellor of the University of Dodoma; H.E. Benjamin William Mkapa has appointed new Deputy Vice Chancellors of the University of Dodoma.

Prof. Peter Lawrence Makenga Msoffe has been appointed Deputy Vice Chancellor - Academic, Research and Consultancy for tenure of four (4) years from 1st January 2016 to 31st December 2019. On the other hand, Prof. Ahmed Ame has been appointed Deputy Vice Chancellor - Planning, Finance and Administration for tenure of four (4) years from 1st July 2016 to 30th June 2020.

These appointments followed recommendations of Search Team for Deputy Vice Chancellors of the University of Dodoma and Resolutions of the 45th meeting of the Executive Committee of the University of Dodoma Council held on 18th November, 2015.

Prof. Msoffe takes over the position from Prof. Ludovick Dominick Bati Kinabo whose tenure ends on 31 December, 2015 while Prof. Ame will take over the position from Prof. Shaaban Ali Kachenje Mlacha whose tenure ends on 30th June 2016.

Prior to these appointments, Prof. Msoffe has been serving as Director of Undergraduate Studies from 1st July 2011 to date. On the other hand, Prof. Ame has been serving as Director of Graduate Studies from 1st July, 2008 to date.

The Council, Management and the entire community of the University of Dodoma would like to sincerely congratulate Prof. Msoffe and Prof. Ame for their deserved appointments. We wish them the best of luck in their new appointments as Deputy Vice Chancellors of the University of Dodoma.

Friday, December 18, 2015

2015 Collections: Picha na video zote za Wanafunzi wakikatika, Madarasani, hosteli na vyumbani......


Huyu wa SAUT akikatikaa chumbani...
Shule moja ya sekondari



Hawa wakila uroda njiani...


Hawa hadi chupa ikitumikaaa...
Hawa wanafanya hosteli...



Wednesday, December 9, 2015

Uhuru day yageuka Usafi Day... Waziri Mkuu Bwana Kassim Majaliwa aitembelea K/koo...

Katika hali inayo staajabisha, Waziri mkuu wa Jamhuri ya Tanzania ameoneka Kariakoo jijini Dar es salaam ambapo watu walimpokea kwa shangwe na kazi za usafi ikiwa ni moja kati ya tekelezo la raisi wa awamu ya tano Bwana John Pombe Magufuli.

Wakazi wa Kariakoo walifarijika na kutembelewa na Waziri Mkuu huyo ktokana na viongozi wengi kutokumbuka sehemu hizo na wakiwaliamua kumuunga mkono waziri mkuu wa Tanzania huku wakisindikiza kwa nyimbo na shangwe ikiwemo sehemu  ilionukuliwa kuwa "Mafisadi wataisoma namba", huku wengine wakisema,"Tumbueni Majipu, chunusi mpaka manundu".

Sehemu mbalimbali za Dar es salaam zimeonekana zikifanyiwa usafi, hii ikijumuisha usafi wa majumbuni na Masokoni mfano mzuri umeoneshwa katika soko maarufu la Mbuzi vingunguti ambapo uchafu ulizoeleka sana, sasa limependeza na usafi bado kuendelea.

Sunday, December 6, 2015

JINSI YA KUWEKA LENGO NA KUFANIKISHA

KWANINI TUNAWEKA MALENGO?
1. Tunaweka malengo kwasababu ni kitu sahihicha  kufanya, ni sawa na kucheza mpira bila nguzo za goli au viashiria vya sehemu ya kufunga haita kuwa na maana sahihi ya mchezo.

2. Kuweka malengo husaidia katika kujiweka imara kufikia mafanikio katika shughuli zako.

3. Kuweka malengo hukusaidia kujenga nidhamu sahihi kuelekea mafanikio yako.

4. Kuweka malengo hukusaidia kujua maendeleo ya shughuli zako, pia ni njia ya kupima mafanikio katika muda fulani.

5.Kutokuwepo na lengo ni sawa na kutokuwa na upeo na mipango katika shughuli zako.

JINSI YA KUWEKA NA KUYAFIKIA MALENGO

1. Andika Lengo Wanasema mali bila daftari hupotea bila habari, lengo ni mali yako usipoiandika hupotea kama ndoto, na kuandika huleta uhalisia wa malengo yako.

2.Andaa Lengo
Lengo huitaji maandalizi thabiti ili liwe uhalisia, bila maandalizi thabiti lengo huwa kama ndoto nyingine yaani hupotea na kukuachia kumbukumbu,japo kama umefika sehemu ya maandalizi waweza pata hata hasara, maandalizi yaweza chukua hata miaka miwili lakini yasizidi hapo.

3. Fanya Lengo
Lengo linaweza kuwa kubwa lakini ukianza hata kufanya kidogo kidogo husaidia na kukufariji maana umefanya jambo muhimu kuanza, na kushaanza usitegee matokeo ya papo kwa hapo, hakuna kitu chenye malipo ya sekunde hiyo hiyo, hata dawa huchelewa kufanya kazi hata kama inaponyesha.

4. Fanikisha Lengo
Baada ya kufanya shunguli uliopanga kidogo kama kianzio, huu ni muda wa kutimiza lengo kamili. Unaweza kuwa ni wakati mgumu  sana lakini ukijiamini na kutumia malighafi zote zilizokuzunguka kama watu, ardhi nakadhalika linaweza fanyikiwa.

5.Dumisha Lengo
Lengo linatakiwa lidumu ili isionekane kama umeshindwa kuendeleza lengo lako, muda wa kudumu lengo lililo pangwa hutengemea na jinsi ulivyoliandaa lengo lako litumike muda gani.

6.Kuza Lengo
Lengo lako kama limeandaliwa kaajili ya watu au sehemu Fulani linatakiwa likuzwe ili lisaidie wengi, na hii huitaji gharama na kujipanga ila huwezekana sana tu.

7.Shirikisha Lengo
Kishirikishana ni upendo, na jinsi unavyoshirikisha wengine ndio jinsi unavyopata mawazo mapya juu ya malengo yako, lakini angalia unavyoshirikisha maana sa nyingine wengine huvunja moyo.


Ni wakati wa mafanikio SHARE kama unahisi imekusaidia.