Wengi wamekuwa na mitazamo tofauti wengi wakiwa
wanamategemeo kuwa litakuwa na upinzani
mkubwa kutokana na upinzani kuongezeka maradufu, wengine wakipendekeza sheria
dhidi ya wabunge na wazembe ziwekwe uzembe huo ulitajwa kuwa ni kulala, kushikana
mashati na kujibizana matusi, huku wengine wakisema wanategemea kilekile maana
wakina “hela ya Mboga ndio walewale wameingia” hii ni mitazamo tofauti
iliotolewa vijiweni siku ya leo ikiwa ni njia mojawapo ya kupata maoni ya
wananchi juu ya bunge jipya.
No comments:
Post a Comment