Thursday, February 25, 2016

Is your mobile stolen? or LOST!!? Now you can trace it. EASY WAY TO TRACE LOST OR STOLEN MOBILE. READ HERE>>>>

If u lose your mobile you can trace it back.
Most of us always fear that our Mobile may be stolen at any time.
Each mobile carries a unique
IMEI no. i.e. International Mobile Equipment Identity No which can be used to track your mobile anywhere in the world.
This is how it works!!
1. Dial *#06# from your mobile.
2. Your mobile shows a unique 15 digit.
3. Note down this number at a secure place except in your mobile phone itself as this is the Number which will help trace your mobile in Case of a theft.
4. Once stolen you just have to E-mail this 15 digit IMEI No. to cop@vsnl.net with details as below.
  
Your name:____________________
Address:______________________
Phone model:_________________
Make:_________________________
Last used No.:_________________
E-mail for communication:_____
Missed date:___________________
IMEI No :_______________________

5. No need to go to the police.
 
6. Your Mobile will be traced within next 24 hrs via a complex system of GPRS and internet, You will find where your hand set is being operated and the new user's no. will be sent to your email.

Wednesday, February 17, 2016

NECTA CSEE RESULT 2015.... PLEASE READ>>>

In the social media a lot of rumors were going on, basically on the actual date when CSEE 2015 will be out, different messages where sent with gossiping on the internal matters within the council as shown below,


BREAKING NEWS!!
Ofisi ya wizara ya elimu kupitia kwa waziri wa wizara hiyo ndugu JOYCE NDALICHAKA,imetangaza kuwa,matokeo ya kidato cha nne yamezuiliwa kwa muda kupisha uchunguzi,inadaiwa matokeo hayo yalifanyiwa uchakachuzi kwani wanafunzi wengi wamefeli kwa uzembe wa wasahihishaji,hivyo mitihani hiyo itasahihishwa tena na matokeo yatangazwa tena tarehe 08/03/2016.wasahihishaji wamekamatwa k
upisha uchunguzi.wizara inaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.mara upatapo taarifa hii wataarifu na wenzio.



The information above is wrong according to the NECTA public relation officer as shown,

Baraza la Mitihani la Tanzania limekuwa likipigiwa simu na watu mbalimbali wakiomba  ufafanuzi kuhusu  taarifa  zinazosambazwa  kwenye  mitandao  ya kijamii kuwa Wizara  ya  Elimu,  Sayansi,  Teknolojia  na  Ufundi imetangaza kuwa  matokeo  ya  Mtihani  wa  Kidato  cha  Nne  (CSEE)  2015  yamezuiwa kwa muda hadi tarehe 08/03/2016.Baraza la Mitihani la Tanzania linapenda kuwajulisha watahiniwa na umma kwa ujumla  kuwa taarifa hizo ni za UONGO na zinalenga kupotosha umma na kuleta taharuki.Hivyo,Baraza  linaomba  umma  kuzipuuza  taarifa  hizo  kwa  kuwa Wizara haijasitisha utoaji  wa matokeo hayo, Matokeo yatatangazwa  mara tu mchakato utakapokamilika.
Imetolewa na,
AFISA HABARI NA UHUSIANO



For more
http://www.necta.go.tz/files/TANGAZO%20MATOKEO%20CSEE2015%20two.pdf

PANYA ROAD DESTROY VALENTINE DAY.... PANYA ROAD walivyoharibu siku ya wapendanao... SOMA HAPA>>>

Panya road or in other name Mbwa Mwitu is the gang in Tanzania mainly consist of youth from 12 to 20th rebelling on different government conducts, with misuse of their teamwork by theft and violence.
This gang disturb the peace expected in Dar es salaam Tanzania at Mwenge and Makumbusho by robbing, insult and destroying properties.



Siku ya valentine day ilionekana kuwa na amani pale ilipoanza asubuhi, ila mambo hayakuendelea vivyo hivyo baada ya kundi la vijana waliojiita panya road kuitia dosari siku hiyo kwa kuharibu amani na kufanya vurugu maeneo ya makumbusho, na mwenge. Vijana hao walitumia upenyo wa siku iliofikirika kuwa ni ya amani kusumbua na hata kuharibu mali.


Tuesday, February 2, 2016

WHO yahofu virusi vya Zika kusambaa kwa kasi... JUA YOTE KUHUSU UGONJWA HATARI WA ZIKA, SOMA HAPA>>>>

Wataalam wa maswala ya afya wa shirika la Afya duniani WHO wanahofu kuwa virusi vinasambaa mbali na kwa haraka,vikisababisha madhara makubwa. Virusi hivyo vinavyosambazwa na Mbu, kama Dengue na vingine maambukizi yake yamekuwa yakihusishwa na maelfu ya watoto wanaozaliwa wakiwa na vichwa vidogo.
tahadhari ya WHO kuhusu Zika ni ya hali ya juu sawa na ya Ebola
hii inamaanisha kuwa utafiti na msaada itatolewa kwa haraka kupambana na maambukizi.
Mkurugenzi mkuu wa WHO, Margaret Chan amesema nguvu ya pamoja inahitajika kupambana na virusi hivyo
amesema masuala yanayopewa kipaumbele ni kuwalinda wanawake wajawazito na Watoto dhidi ya mbu wanaosambaza virusi.

Tangu mwezi Oktoba kumekuwa na ripoti ya kesi 4,000 za watoto kuzaliwa wakiwa na vichwa vidogo nchini Brazil pekee.


Shirika la Afya Duniani (WHO) leo linafanya mkutano wa dharura kujadili kuenea kwa virusi vya Zika.
Mkutano huo mjini Geneva utajadili iwapo mlipuko wa virusi hivyo unafaa kutangazwa kuwa “dharura ya kimataifa”.
Maafisa wa WHO wamesema mlipuko huo wa Zika unabadilika utoka “hatari ndogo hadi kuwa wa hatari kubwa”.

Katika visa vingi, watu walioambukizwa virusi hivyo vya Zika huwa hawaonyeshi dalili zozote, lakini virusi hivyo vinadaiwa kusababisha maelfu ya watoto kuzaliwa wakiwa na vichwa vidogo Amerika Kusini.


Kutangazwa kwa mlipuko wa sasa wa Zika kuwa “dharura ya kimataifa ya afya ya umma” kutavifanya virusi hivyo kutambuliwa kama hatari kubwa duniani na kupelekea pesa, rasilimali na wataalamu wa kisayansi kutengwa kuangazia tatizo hilo Amerika Kusini na katika maabara kote duniani.
WHO inaangazia sana hasa baada ya kukosolewa kutokana na ilivyoshughulikia mlipuko wa maradhi ya Ebola Afrika Magharibi.
  •     Kundi laomba wenye Zika waruhusiwe kutoa mimba
  •  “  Msishike mimba sasa”, mataifa yashauri wanawake


Wengi walisema ilichelewa sana katika kuchukua hatua, na huenda hilo lilichangia vifo vingi.


mbu aina ya Aedes aegypti

Katika mkutano huo wa leo, wataalamu wa kudhibiti magonjwa, wataalamu kuhusu virusi na wale wanaoangazia kutengenezwa kwa chanjo, watamfahamisha mkugugenzi mkuu wa WHO Dkt Margaret Chan habari muhimu kuhusu mlipuko wa Zika.
Wiki iliyopita, alisema: “ Kiwango cha wasiwasi ni cha hali ya juu, na pia hali ya suitafahamu.
“Kuna maswali mengi, na tunahitaji majibu upesi.”




SOURCE:http://www.bbc.com/swahili/habari/2016/02/160201_zika_who


Monday, February 1, 2016

PICHA ZIMA la Majangili waliotungua Ndege ya askari wa doria huko Maswa Shinyanga SOMA HAPA>>>

Kwa mara ya kwanza katika historia ya uhifadhi nchini majangili wa tembo wametungua chopa ya askari wa doria iliyokuwa ikimilikiwa na mwekezaji wa kitalu cha mwiba holdings katika pori la tengefu la maswa mkoani  wilayani meatu mkoani simiyu na kusababisha kifo cha rubani wa chopa hiyo huku rubani mwenzie akijeruhiwa vibaya mguuni Chopa hiyo inasemekana ilitunguliwa majira ya saa kumi na mbili jioni jana na Majaangili hao ambao wanaosadikika kutumia silaha nzito za kivita walifanikisha kutekeleza uhalifu huo walipo gundua kuwa chopa hiyo ilikuwa ikiwafuatilia baada ya kubaini mahali walipo na uhalifu waliokuwa wakiutekeleza katika pori hilo,ambapo inaripotiwa kwamba pamoja na kutungua chopa hiyo walisha fanikiwa kuuwa tembo watatu

Polisi nchini Tanzania wanasema kuwa wamewakamata washukiwa watatu wa mauaji ya rubani mmoja Muingereza aliyekuwa akisadia kupepeleza visa vya mauaji ya ndovu katika mbuga ya wanyama ya Maswa.

Rubani huyo Roger Gower aliaga dunia baada ya wawindaji haramu kumfyatulia risasi .
Msemaji wa shirika linalosimamia mbuga za wanyama nchini Tanzania Pascal Shelutete amesema kuwa mizoga tatu ya ndovu ilipatikana karibu na eneo la ajali dhihirisho kuwa aliyeishambulia helikopta hiyo alikuwa amejihami vilivyo na huenda alikuwa na shehena hiyo ya meno ya ndovu.

Msako bado unaendelea Kaskazini mwa Tanzania, kulitafuta kundi la majangili wanaouwa tembo, na ambalo lilimpiga risasi na kumuuwa rubani huyo kutoka Uingereza.
Roger Gower aliweza kutua ndege yake katika mbuga ya Maswa, baada ya kupigwa risasi na kujeruhiwa, lakini alikufa baadae kutokana na majaraha aliyopata.
Mbunge mmoja wa Tanzania, Lazaro Nyalandu, alilaani mauaji hayo na kusema kuwa ni waovu na waoga.


Shirika moja la wakfu wa utunzaji wa mazingira, ndilo lililotangaza kuwa rubani mmoja raia wa Uingereza, alikuwa amepigwa risasi na kuuawa kaskazini mwa Tanzania.


SOURCE:http://startvtz.com/ndege-ya-askari-wa-doria-yatunguliwa-na-majangili-shinyanga/
SOURCE: http://www.bbc.com/swahili/habari/2016/01/160131_tanzania_pilot_shot