Wednesday, February 17, 2016

PANYA ROAD DESTROY VALENTINE DAY.... PANYA ROAD walivyoharibu siku ya wapendanao... SOMA HAPA>>>

Panya road or in other name Mbwa Mwitu is the gang in Tanzania mainly consist of youth from 12 to 20th rebelling on different government conducts, with misuse of their teamwork by theft and violence.
This gang disturb the peace expected in Dar es salaam Tanzania at Mwenge and Makumbusho by robbing, insult and destroying properties.



Siku ya valentine day ilionekana kuwa na amani pale ilipoanza asubuhi, ila mambo hayakuendelea vivyo hivyo baada ya kundi la vijana waliojiita panya road kuitia dosari siku hiyo kwa kuharibu amani na kufanya vurugu maeneo ya makumbusho, na mwenge. Vijana hao walitumia upenyo wa siku iliofikirika kuwa ni ya amani kusumbua na hata kuharibu mali.


No comments:

Post a Comment