Saturday, January 30, 2016
Gumzo mitandaoni>>>> Rais wa marekani barak Obama Kukimbia kuwahi ndege yake baada ya kutumia muda wake vibaya....
Habari zilizogonga vichwa vya habari duniani ni tukio la Rais wa
marekani barak Obama Kukimbia mbio kuwahi ndege baada ya kutumia muda
wake vibaya, na kwa mujibu wa taarifa toka state zinasema muda wa ndege
ya Rais unapowadia basi huondoka bila kujali Rais yupo au hayupo kwa
ajili ya usalama.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment