Saturday, January 30, 2016

Gumzo mitandaoni>>>> Rais wa marekani barak Obama Kukimbia kuwahi ndege yake baada ya kutumia muda wake vibaya....

Habari zilizogonga vichwa vya habari duniani ni tukio la Rais wa marekani barak Obama Kukimbia mbio kuwahi ndege baada ya kutumia muda wake vibaya, na kwa mujibu wa taarifa toka state zinasema muda wa ndege ya Rais unapowadia basi huondoka bila kujali Rais yupo au hayupo kwa ajili ya usalama.

No comments:

Post a Comment