Saturday, November 28, 2015

Kukagua simu ya mwenza wako ni kujiumiza roho, Mwone Diamond akitafuta ugomvi kwa Zari.

Wapenzi wengi wana tabia za kuchunguza simu za wenzao,  hii ni sababu ya kukosa uaminifu. Hii tabia sio nzuri maana hupunguza uaminifu ndani ya mahusiano.
Msanii Diamond atangaza kutohusika na kuchunguza simu ya mpenzi wake Zari, lakini picha hii haionyeshi uuhalisia.

No comments:

Post a Comment