Sunday, November 29, 2015

Mtoto umleavyo, ndivyo akuavyo!!!

Wazazi wengi huwagombeza watoto wakikuwa kuwa wamebadilika na mara nyingi hawana heshima. Ni jambo la kawaida kwa familia nyingi wazazi huishia kujiuliza na kusingizia tabia mtoto katoa wapi, lakini tokana na uhalisia tabia yeyote anayoonyesha mtoto inatoka katika jamii imzungukayo.
Tutoke nje ya nchi kidogo tumwangalie Will Smith muigizaji mwenye asili ya kiafrika amerika (yaani black America) ambaye familia yake yote imedumbukia kwenye uigizaji.
Tukirudi Tanzania tunakutana na msanii hayati TX Moshi ambaye mwanae yupo kwenye tasnia ya sanaa ya kuigiza.
Je hawa walelewao wengine na wasanii wa kizazi hiki watakuwaje?, Je wataiga maisha ya baba zao? au watapata njia nyingine?


No comments:

Post a Comment